Paulo wa Roma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Wat. Yohane na Paulo, mchoro wa Guercino, 1632.

Paulo wa Roma alikuwa Mkristo aliyeuawa pamoja na ndugu yake Yohane tarehe 26 Juni 362 kwa ajili ya imani yake chini ya kaisari Juliani Mwasi (361363).

Inasemekana walikuwa matowashi na mashemasi na walikatwa vichwa vyao.

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini na kutajwa pamoja katika kanuni ya Kirumi.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe ya kifodini chao, 26 Juni[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.