Nenda kwa yaliyomo

Optasiani

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Optasiani (karne ya 5 - 504 hivi) anakumbukwa kama askofu wa kumi na tatu wa Brescia (Italia Kaskazini) kwa muda wa miaka 54.

Mwaka 451 alisaini barua za sinodi ya Lombardia zilizotumwa na Eusebi wa Milano kwa Papa Leo I ili kukiri imani sahihi kuhusu Umwilisho dhidi ya uzushi [1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Julai.[2]

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]
  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/62510
  2. Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.