Optasiani
Mandhari
Optasiani (karne ya 5 - 504 hivi) anakumbukwa kama askofu wa kumi na tatu wa Brescia (Italia Kaskazini) kwa muda wa miaka 54.
Mwaka 451 alisaini barua za sinodi ya Lombardia zilizotumwa na Eusebi wa Milano kwa Papa Leo I ili kukiri imani sahihi kuhusu Umwilisho dhidi ya uzushi [1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |