Nikodemo wa Cirò

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sanamu ya Mt. Nikodemo.

Nikodemo wa Cirò (pia: wa Mammola; Cirò, mkoa wa Calabria, Italia, 900 hivi – Gerace, Calabria, 25 Machi 990) alikuwa mmonaki wa Ukristo wa Mashariki maarufu wa maadili na ugumu wa maisha, halafu mkaapweke na mlezi wa wamonaki kusini mwa Italia[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Tarehe ya kifo chake ndiyo sikukuu yake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.