Nikanda mfiadini

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Nikanda mfiadini (alifariki Aleksandria, karne ya 4) ni kati ya Wakristo wa Misri waliouawa kwa ajili ya imani yao[1]. Alikatwa kichwa.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Machi[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Physician noted for his charity, for ministering to and treating people imprisoned for their faith, and giving Christian burial to martyrs who died in the persecutions of Diocletian. Imprisoned, tortured and martyred for his faith and good works.
  2. https://catholicsaints.info/saint-nicander-of-alexandria/
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.