Nestori wa Magido

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoro mdogo wa kifodini chake.

Nestori wa Magido (alifariki Perge katika Pamfilia, leo nchini Uturuki, 251) alikuwa askofu wa mji huo[1] ambaye, wakati wa dhuluma ya kaisari Decius wa Dola la Roma, aliuawa kwa kusulubiwa kutokana na imani yake kwa Yesu aliyetufilia msalabani [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 25 Februari[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Lives of the Saints by Omer Englebert, 1951 and Barnes & Noble Books, 1994
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/42800
  3. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.