Pamfilia

Majiranukta: 37°N 31°E / 37°N 31°E / 37; 31
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Ramani ya Dola la Roma ikionyesha Pamfilia kwa rangi nyekundu.
Maghofu katika barabara ya Perga, uliokuwa mji mkuu wa Pamfilia.
Ramani ya karne ya 15 ikionyesha Pamfilia.
Sarafu kutoka Aspendos, Pamfilia.

Pamfilia (kwa Kigiriki: Παμφυλία, Pamphylía [1] kwa maana ya mchanganyiko wa watu [2]) lilikuwa eneo kusini mwa Asia Ndogo, katikati ya Lycia na Kilikia. Kaskazini kulikuwa na Pisidia, ambayo chini ya Warumi ilihesabiwa kama sehemu ya Pamfilia kutokana na wakazi kuwa na asili moja.

Eneo hilo la rasi ya Anatolia (leo nchini Uturuki) lilikuwa kati ya bahari ya Mediteranea na Milima ya Taurus kama mkoa wa Antalya leo.

Ni kati ya maeneo yaliyojinjilishwa na Mtume Paulo pamoja na Barnaba.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Παμφυλία, Henry George Liddell, Robert Scott, A Greek-English Lexicon, on Perseus
  2. πάμφυλος, Henry George Liddell, Robert Scott, A Greek-English Lexicon, on Perseus

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

37°N 31°E / 37°N 31°E / 37; 31

Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pamfilia kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.