Mto Neubari

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Beseni la Mto Sobat.

Mto Neubari unapatikana mashariki mwa Sudan Kusini.

Ni tawimto la mto Akobo ambalo tena ni tawimto la mto Pibor ambalo maji yake yanaishia katika mto Sobat, Nile Nyeupe na hatimaye Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mto Neubari kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.