Mto Kirimia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mto Kirimia unapatikana katika wilaya ya Bundibugyo, magharibi mwa Uganda.

Maji yake yanaishia katika mto Semliki, ziwa Albert, mto Naili na hatimaye katika Bahari ya Kati.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]