Monulfi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Wat. Monulfi na Gondulfi katika dirisha la kioo cha rangi, Basilika la Bibi Yetu (Maastricht).

Monulfi (kwa Kiholanzi: Monulfus; alifariki Tongeren, nchini Ubelgiji, 588) alikuwa askofu wa 21 wa Atuatuca Tungrorum, leo Tongeren.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Julai[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Raymond Van Dam, Glory of the Confessors (annotated translation of Gregory of Tours' Liber de Gloria Confessorum), 1988
  • (Kiholanzi) Régis de la Haye, De bisschoppen van Maastricht. Maastricht, 1985
  • (Kijerumani) Renate Kroos, Der Schrein des heiligen Servatius in Maastricht und die vier zugehörigen Reliquiare in Brüssel. Munich, 1985
  • De Sint Servaas (bi-monthly restoration bulletins, 1-65). Maastricht, 1982-1992
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.