Wilaya ya Momba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Momba)

Coordinates: 8°48′42″S 32°21′47″E / 8.81167°S 32.36306°E / -8.81167; 32.36306.


Wilaya ya Momba
Wilaya ya Momba is located in Tanzania
Wilaya ya Momba
Wilaya ya Momba

Mahali pa Wilaya ya Momba katika Tanzania

Majiranukta: 8°48′42″S 32°21′47″E / 8.81167°S 32.36306°E / -8.81167; 32.36306
Nchi Tanzania
Mkoa Songwe
Wilaya Momba
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 259,781

Wilaya ya Momba ni wilaya mojawapo kati ya 5 za mkoa wa Songwe, Tanzania, ambayo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 ikigawiwa toka wilaya ya Mbozi.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 259,781 [1].

Makao makuu ya wilaya yapo Tindingoma.

Vijiji vinavyozunguka makao makuu ya wilaya ni: Nkala, Naming'ongo na Yala. Vyote hivyo vipo ndani ya Tarafa ya Msangano.

Lugha kuu zinazozungumzwa ni pamoja na Kinyamwanga na Kiwanda upande wa Tarafa ya Kamsamba.

Mazao yanayolimwa ni mpunga, mahindi, mtama, ufuta, ulezi, alizeti na kahawa.

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Momba - Mkoa wa Songwe - Tanzania

Chilulumo | Chitete | Ikana | Ivuna | Kamsamba | Kapele | Mkomba | Mkulwe | Mpapa | Msangano | Myunga | Ndalambo | Nkangamo | Nzoka


Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Songwe bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Momba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari .
Usiingize majina ya viongozi au maafisa wa sasa maana wanabadilika haraka mno