Mmoyomoyo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mmoyomoyo
(Sapindus spp.)
Mmoyomoyo
Mmoyomoyo
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Sapindales (Mimea kama mmoyomoyo)
Familia: Sapindaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mmoyomoyo)
Jenasi: Sapindus
L.
Ngazi za chini

Spishi 12:

Mimoyomoyo, miharita au mimwaka ni miti ya jenasi Sapindus katika familia Sapindaceae ambayo matunda yake, yanayoitwa moyomoyo, hutumika kwa kutengeneza aina ya sabuni. Uziduzi wa matunda hutumika kwa kulevya samaki au kuua konokono wa maji ambao wanaambukiza kichocho. Jenasi hii ni jenasi-mfano ya Sapindaceae.

Spishi za Afrika ya Mashariki[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mmoyomoyo kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.