Elbrus

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka Mlima Elbrus)
Mlima Elbrus mnamo Mei 2008.

Elbrus (kwa Kirusi Эльбрус) ni mlima mkubwa kabisa nchini Urusi na Ulaya kwa jumla (ingawa wengine wanaupanga upande wa Asia).

Urefu wake ni m 5,642.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu maeneo ya Urusi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Elbrus kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.