Mkweme

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkweme (Telfairia spp.)
Mkweme mashariki (Telfairia pedata)
Mkweme mashariki
(Telfairia pedata)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Plantae (Mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Cucurbitales (Mimea kama mboga)
Familia: Cucurbitaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mboga)
Jenasi: Telfairia
Hook.
Ngazi za chini

Spishi 3:

Mikweme ni mimea ya jenasi Telfairia katika familia Cucurbitaceae. Ina umbo la kamba na kutambaa juu ya miti yenye shina kubwa. Matawi yake yanafikia urefu wa mita 30.

Matunda yake ni makubwa sana; yale ya mkweme mashariki yanaweza kufikia kg 15. Mbegu huitwa kweme na hutumika kama chakula na kwa kutengeneza mafuta. 25% ni protini na 55% ni mafuta, hivyo zinafaa sana kama chakula bora, kwa mfano kwa akina mama baada ya kujifungua.

Asili yake ni Afrika.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkweme kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.