Mkwaju

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mkwaju
(Tamarindus indica)
Mkwaju porini
Mkwaju porini
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Nusufamilia: Detarioideae
Jenasi: Tamarindus
L.
Spishi: T. indica
L.

Mkwaju, msisi au makombe (jina la kisayansi: Tamarindus indica) ni mti mkubwa wa familia Fabaceae ambao asili yake ni Afrika Mashariki na India.

Tunda lake huitwa ukwaju ambalo lina umbo jembamba, rangi ya kijani likiwa bichi au ya kaki linapoiva na lina nyama gwadu ilikayo hasa kama kiungo katika vyakula na vinywaji.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkwaju kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.