Nenda kwa yaliyomo

Mkoa wa Mashariki (Zambia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa mkoa wa Masharikii katika Zambia

Mkoa wa Mashariki (Eastern Province) ni mmojawapo kati ya mikoa 10 ya kujitawala ya Zambia. Una wakazi 2,603,000 kwenye eneo la km² 98,877. Mji mkuu ni Chipata.

Jiografia

[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Chipata, Petauke na Lundazi.

Lunsemfwa na Luangwa ndiyo mito muhimu zaidi.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


 
Mikoa ya Zambia
Bandera ya Zambia
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki | Muchinga
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Mashariki (Zambia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.