Mkoa wa Mashariki (Zambia)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa mkoa wa Masharikii katika Zambia

Mkoa wa Masharikii (Eastern Province) ni moja ya mikoa 9 ya kujitawala ya Zambia lenye wakazi 1,306,173 kwenye eneo la 69,106 km². Mji mkuu ni Chipata.

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Chipata, Petauke na Lundazi.

Lunsemfwa na Luangwa ni mito muhimu zaidi.

Picha za Masharikii[hariri | hariri chanzo]


WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Mashariki (Zambia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.



 
Mikoa ya Zambia
Bandera ya Zambia
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki
+/-