Mkoa wa Kaskazini-Magharibi (Zambia)
Mandhari

Mkoa wa Kaskazini-Magharibi (North-Western Province) ni mmojawapo kati ya mikoa 10 ya kujitawala ya Zambia. Una wakazi 1,350,000 kwenye eneo la km² 125,826. Mji mkuu ni Solwezi.
Jiografia
[hariri | hariri chanzo]Miji mikubwa ni pamoja na Solwezi na Mwinilunga.
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]| Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki | Muchinga | |
| +/- | |
| Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Kaskazini-Magharibi (Zambia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
