Nenda kwa yaliyomo

Mkoa wa Luapula

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa mkoa wa Luapula katika Zambia

Mkoa wa Luapula ni mmojawapo kati ya mikoa 10 ya kujitawala ya Zambia. Una wakazi 1,535,000 kwenye eneo la km² 50,567. Mji mkuu ni Mansa.

Jiografia

[hariri | hariri chanzo]

Miji mikubwa ni pamoja na Mansa na Nchelenge.

Luapula na Chambeshi ni mito muhimu zaidi.

Picha za Luapula

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


 
Mikoa ya Zambia
Bandera ya Zambia
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki | Muchinga
+/-
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Luapula kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.