Mkoa wa Magharibi (Zambia)
Kwa maana nyingine, tazama Mkoa wa Magharibi.

Mahali pa mkoa wa Magharibi katika Zambia
Mkoa wa Magharibi (Western Province) ni moja ya mikoa 9 ya kujitawala ya Zambia lenye wakazi 765,088 kwenye eneo la 126,386 km². Mji mkuu ni Mongu.
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Miji mikubwa ni pamoja na Mongu, Sesheke na Senanga.
Zambezi na Lungwebungu ni mito muhimu zaidi.
Picha za Magharibi[hariri | hariri chanzo]
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Magharibi (Zambia) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
![]() | |
---|---|
Copperbelt | Kaskazini | Kaskazini-Magharibi | Kati | Kusini | Luapala | Lusaka | Magharibi | Mashariki | |
+/- |