Metrofane wa Bizanti

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Metrofane wa Bizanti

Metrofane wa Bizanti (alifariki 326) alikuwa askofu wa Bizanti, baadaye Konstantinopoli, leo Istanbul nchini Uturuki, kuanzia mwaka 306 hadi 314 [1].

Ndiye aliyeweka wakfu kwa Bwana mji huo ulioitwa pia Roma Mpya.

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu kale kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Juni[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.