Merkuri wa Kaisarea

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Merkuri, mozaiki katika monasteri ya Hosios Lukas.

Merkuri wa Kaisarea (jina la awali: Filopatri; Kapadokia au Roma, 224 - Kaisarea wa Kapadokia, katika Uturuki ya leo, 250) alikuwa jenerali wa jeshi la Dola la Roma hadi alipojitambulisha kwa kaisari kuwa Mkristo. Hapo aliteswa na hatimaye kukatwa kichwa kutokana na imani yake[1][2][3]

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Novemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Ruskin, John; Bryan, Taylor (1894). St. Mark's Rest, Lectures on art, Elements of perspective (kwa Kiingereza). uk. 170. 
  2. Riches, Sam; Salih, Sarah (2005). Gender and Holiness: Men, Women and Saints in Late Medieval Europe (kwa Kiingereza). Routledge. uk. 78. ISBN 978-1-134-51489-2. 
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/79100
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.