Mektilde wa Hackeborn
Mandhari

Mektilde wa Hackeborn, O.S.B. (pia: Mechthild, Mechtilde; 1240/1241 – 19 Novemba 1298) alikuwa mmonaki wa kike wa monasteri ya Helfta nchini Ujerumani, maarufu kwa ujuzi wa dini na unyenyekevu, aliyeangazwa na Mungu katika sala ya kumiminiwa[1].
Ndiye aliyemlea mtoto Getrude Mkuu.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waanglikana na Walutheri kama mtakatifu bikira.
Sikukuu yake ni tarehe 19 Novemba[2].
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Don Giuseppe| Brioschi, Le "Tre Ave Maria", 2009, Editrice Shalom, Camerata Picena
- Matilde di Hackeborn, "Liber Gratiae specialis", Oudin 1877, https://digital.blb-karlsruhe.de/blbihd/content/pageview/3325200
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- Benedict XVI, "On St. Matilda, God's Nightingale", Zenit, 29 September 2010
- The Love of the Sacred Heart", Vol. III, (Illustrated by St. Mechtilde), Burns, Oates, and Washburne Ltd., London, 1922
- Kloster Helfta
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
