Mchoroko

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mchoroko
(Vigna mungo na V. radiata)
Mchoroko-kijani unaobeba makaka
Mchoroko-kijani unaobeba makaka
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Planta (mimea)
(bila tabaka): Angiospermae (Mimea inayotoa maua)
(bila tabaka): Eudicots (Mimea ambayo mche wao una majani mawili)
(bila tabaka): Rosids (Mimea kama mwaridi)
Oda: Fabales (Mimea kama mharagwe)
Familia: Fabaceae (Mimea iliyo na mnasaba na mharagwe)
Jenasi: Vigna
Savi, 1824
Spishi: V. mungo (L.) Hepper

V. radiata (L.) R. Wilczek

Mchoroko (Vigna mungo na V. radiata) ni jina la spishi mbili za mimea katika familia Fabaceae unaozaa choroko, mbegu zake ndogo kuliko aina zote za maharagwe zikuazo ndani ya makaka.

Picha[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mchoroko kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.