Marsiana wa Mauretania

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kifodini cha Mt. Marsiana (mchoro mdogo wa karne ya 15).

Marsiana wa Mauretania alikuwa bikira Mkristo wa Russucur (leo Dellys katika Algeria) aliyefia dini yake kwa kutupwa kama chakula kwa wanyamapori katika kiwanja cha michezo cha Cherchell wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian na Maximian Herculeus mwaka 303[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Julai[3], lakini pia 9 Januari[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. St. Marciana - Catholic Online
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/62250
  3. Martyrologium Romanum
  4. https://catholicsaints.info/book-of-saints-marciana-9-January

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.