Marlon Brando

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Marlon Brando

Marlon Brando, mnamo 1961.
Amezaliwa Marlon Brando Jr.
(1924-04-03)Aprili 3, 1924
Omaha, Nebraska, Marekani
Amekufa 1 Julai 2004 (umri 80)
Los Angeles, California, Marekani
Kazi yake Mwigizaji
Miaka ya kazi 1944-2004
Ndoa Anna Kashfi (1957-1959)
Movita Castaneda (1960-1968)
Tarita Teriipaia (1962-1972)
Watoto 11

Marlon Brando (3 Aprili 19241 Julai 2004) alikuwa mwigizaji wa filamu maarufu wa Kimarekani. Anafahamika zaidi kwa kuwa mhusika mkuu katika baadhi ya filamu zilizotamba sana miaka ya nyuma kama vile; A Streetcar Named Desire (1951), The Wild One (1953), The Godfather (1972), Superman (1978), Apocalypse Now (1979), na The Island of Dr. Moreau (1996).

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Marlon Brando kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.