Marko mkaapweke

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya Marko mkaapweke.

Marko mkaapweke ni kati ya Wakristo walioishi vizuri imani yao kwa kutawa katika karne ya 5[1].

Kwa kuwa hayajulikani mengine mengi kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Pia aliandika vitabu vingi kuhusu maisha ya kiroho ambamo anaonekana kumfuata Yohane Krisostomo.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Mei[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. http://catholicsaints.info/saint-mark-the-ascetic/
  2. Ὁ Ὅσιος Μάρκος ὁ Ἐρημίτης. 20 Μαΐου. ΜΕΓΑΣ ΣΥΝΑΞΑΡΙΣΤΗΣ.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  • Andrea Gallandi, Bibliotheca veterum Patrum, VIII (Venice, 1788), 1–104, reprinted with Gallandi's prolegomena in Patrologia Graeca, LXV, 893–1140;
  • J. A. Fabricius-G. C. Harles, Bibliotheca graeca, IX (Hamburg, 1804), 267–69;
  • Bernard Jungmann-Josef Fessler, Institutiones Patrologiae, II, (Innsbruck, 1892), 143–46;
  • Kunze, Marcus Eremita, ein neuer Zeuge fur das altkirchliche Taufbekenntnis (Leipzig, 1896).
  • Georges-Matthieu de Durand (1999), Marc le Moine, Traités (two volumes)

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.