Mark Okerstrom

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Mark Okerstrom (aliyezaliwa 1972/1973) ni wakili wa Kanada na mtendaji mkuu wa teknolojia katika sekta ya ukarimu. Alikuwa raisi na Mkurugenzi Mtendaji wa Expedia Group hadi Desemba 4, 2019. Mark kwa sasa ndiye raisi na COO wa Convoy.

Maisha ya awali[hariri | hariri chanzo]

Okerstrom alizaliwa huko Vancouver, British Columbia, na ni mtoto wa walimu wawili wa shule[1].


Okerstrom alipata cheti cha sanaa huria kutoka Chuo Kikuu cha Simon Fraser mnamo 1995, Daktari wa Juris kutoka Chuo Kikuu cha British Columbia mwaka 1998, na Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Biashara kutoka Shule ya Biashara ya Harvard mnamo 2004[2][3].

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mark Okerstrom kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
  1. "New Expedia CEO Mark Okerstrom has a hard act to follow", The Seattle Times, September 25, 2017. 
  2. "Expedia's Mark Okerstrom on His Quest To Build One 'Incredible Synthetic Mentor'", The Wall Street Journal, November 23, 2018. 
  3. "CFO of the Year 2014: Mark Okerstrom", Puget Sound Business Journal, March 14, 2014.