Majadiliano ya mtumiaji:Samweli mark chipofya

Yaliyomo ya ukurasa hayatumiki katika lugha nyingine.
Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karibu kwenye Wikipedia kwa Kiswahili!

Tunamfurahia kila mmoja anayeingia na kuungana nasi. Hii ni kamusi elezo ya maandishi huru. Unaweza kuandika makala uipendayo ama kuitafsiri kutoka Wikipedia ya lugha nyingine.

Ukipenda kutumia kurasa zetu za mwongozo na msaada, a) ukitumia simu bofya kwa "Dawati" chini kwenye dirisha lako na n) ubadilishe mwonekano wa Wikipedia kwa kubofya "Switch to old look" kwenye menyu upande wa kushoto.

Kwa mawili matatu labda tazama:

Jisikie huru kuuliza swali lolote lihusianalo na Wikipedia hii. Karibu kujitambulisha kwenye "Ukurasa wa mtumiaji". Ukitaka kupata kwanza uzoefu wa kuweza kuhariri Wikipedia, tafadhali tumia ukurasa wako kwa majaribio. Humo unaruhusiwa kujipatia uzoefu wa uundaji wa makala za Wikipedia! Juu yako mwenyewe uandike tu kwenye ukurasa wako wa mtumiaji. Humo uko huru kutangaza chochote upendacho, kama si biashara au matusi.

Ujue miiko:

Tunakushauri pia kuandikisha email yako; haitaonekana na wengine lakini wataweza kukuandikia kupitia mfumo wa Wikipedia. Karibu sana!


Welcome to Kiswahili Wikipedia!

We welcome you even if you don't speak Kiswahili. For a bot flag go to this site. If you try to edit entries as a non-speaker, it is better to first communicate with one of our admins who can advise you. You may find them at Wikipedia:Wakabidhi. And, please:

  • do not post computer translated texts (like Google Translate, Content Translation, etc. all do not work for Swahili)
  • nor copied texts/images from other webs to this site!
  • do not use links to commercial pages, never post anything that looks like advertising.

As a newcomer we advise that you register your email. This will not be visible to others but it allows us to notify you, which often is helpful in case of problems.

Kiini cha seli.[hariri chanzo]

kiini cha seli Kiini cha seli (kwa Kiingereza cell nucleus) ni sehemu ndogo ndani ya seli ya kiumbehai wa aina ya eukaryota inayobeba habari za jenetikia, yaani urithi wa tabia za kiumbehai. Ndani ya kiini kuna nyuzi za kromosomu zenye DNA. Hizi zinapatikana kama mkusanyiko wa nyuzi (nucleolus ~ ka-kiini) ndani ya kiini.

Mwili wa binadamu huwa na seli milioni kadhaa, na nyingi zina viini vya seli. Mfano wa seli ya binadamu isiyo na kiini ni seli nyekundu za damu.

Kiini chenyewe ndani ya seli hukingwa kwa utando wa kiini cha seli (ing. nuclear envelope au nuclear membrane). Utando huu unazuia molekuli kubwa lakini inaruhusu kupita kwa proteini maalumu kwenye nafasi maalum (nuclear pores).

Seli za mwili zinajigawa muda wote. Wakati wa kujigawa, kromosomu zinajikaza kwa pande mbili halafu kiini kinavunjika; utando wa kiini unayeyushwa, na seli mbili mpya zinatokea. Ndani ya seli mpya kiini kinaundwa upya kwa kutengeeza utando wa kiini mpya.

Uainishaji wa kisayansi.[hariri chanzo]

Uainishaji wa kisayansi Uainishaji wa kisayansi ni jinsi wataalamu wa biolojia wanavyopanga viumbehai kama mimea na wanyama kwa vikundi kwenye ngazi mbalimbali. Inaweza kuitwa pia taksonomia.

Tangu muda mrefu watu walitambua ya kwamba wanyama au mimea mbalimbali wanafanana kati yao kwa namna moja au nyingine. Wataalamu walijaribu kupanga aina hizo kwa vikundi vyenye tabia za pamoja. Carolus Linnaeus alianza kuzipanga kwa muundo ulioeleweka kulingana na tabia za maumbile yao.

Mfumo wa Linnaeus uliendelezwa baadaye kulingana na nadharia ya Charles Darwin inayoona ya kwamba spishi mbalimbali huwa na chanzo cha pamoja, kwa hiyo inawezekana kupanga uhai wote kama mti yenye matawi makubwa, tena madogo yanayotoka kwenye makubwa.

Ujuzi wa kisasa kutokana na utafiti wa DNA ndani ya seli za viumbehai unaendelea kuongeza ujuzi wetu kwa hiyo katika mengi uainishaji ni utaalamu unaozidi kubadilika.

Majina ya Kisayansi[hariri | hariri chanzo]

Carl Linnaeus, anayejulikana kama baba wa uainishaji wa kisayansi. Kila spishi ya viumbehai inapewa jina la kisayansi lenye maneno mawili kufuatana na muundo wa uainishaji. Jina la Kisayansi linaanza kwa kutaja jenasi inayoandikwa kwa herufi kubwa, halafu neno la pili kama sehemu maalumu ya jina la spishi ile. Maneno hayo huandikwa kwa herufi za italiki. Kwa mabano hufuata jina la mtaalamu wa spishi pamoja na mwaka alioandika maelezo yake.

Kwa mfano paka anaitwa Felis silvestris (Linnaeus, 1758) na spishi hii inajumlisha paka wa porini na paka wa nyumbani.

Felis ni jina la jenasi. Jenasi huandikwa kwa herufi kubwa. "silvestris" ni sehemu ya pili ya neno; linasema "wa msituni" kwa sababu inaaminiwa ya kwamba asili ya paka hizi zote ni aina ya paka wa porini wa Asia, Ulaya na Afrika Kaskazini. Paka wa nyumbani anayefugwa na watu anatazamwa kama nususpishi, na nususpishi hii inaweza kutofautishwa kwa kuongeza neno la tatu "catus" kuwa "Felis silvestris catus". Hili ni jina la nususpishi ya paka wanaofugwa na watu. Nususpishi hii ina aina nyingi ndani yake, kutokana na ufugaji na uteuzi lakini zote zimo ndani ya nususpishi ileile.

Katika mabano lipo jina la mtaalamu aliyeeleza spishi hii mara ya kwanza kwa namna ya kisayansi pamoja na mwaka alipoandika. Katika mfano wa paka ni Carolus Linnaeus anayefupishwa mara nyingi kama "L.". Aliandika kitabu chake mwaka 1728.

Umbo la majina katika uinishaji[hariri | hariri chanzo] Katika uainishaji wataalamu wamepatana jinsi ya kutumia majina kwa ngazi mablimbali. Umbo la majina haya hufuata sarufi ya Kilatini.

Ngazi Mimea (planta) Mwani (algae) Uyoga (fungi) Wanyama (animalia) Faila -phyta -mycota Nusufaila -phytina -mycotina Ngeli -opsida -phyceae -mycetes Nusungeli -idae -phycidae -mycetidae Oda ya juu -anae Oda -ales Nusuoda -ineae Familia ya juu -acea -oidea Familia -aceae -idae Nusufamilia -oideae -inae Kabila -eae -ini Nusukabila -inae -ina Morpho didius Male Dos MHNT.jpg Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Uainishaji wa kisayansi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za biolojiaUainishajiBiolojia Urambazaji Samweli mark chipofya Alerts (0) Notice (1) MajadilianoMapendekezoBetaMaangaliziMichangoTokaMakalaMajadilianoSomaHaririHariri chanzoFungua historiaFuatiliaTafuta

Kutafuta Nenda Mwanzo Jumuia Matukio ya hivi karibuni Mabadiliko ya karibuni Ukurasa wa bahati Msaada Michango Chapa/peleka nje Tunga kitabu Pakua kama PDF Ukurasa wa kuchapika In other projects Wikimedia Commons Vifaa Viungo viungavyo ukurasa huu Mabadiliko husika Pakia faili Kurasa maalum Kiungo cha daima Maelezo ya ukurasa Wikidata item Taja ukurasa huu Lugha zingine العربية বাংলা Català English Español Français Português اردو 中文 40 more Edit links Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 13 Februari 2016, saa 14:23. Maandishi yanapatikana chini ya leseni ya Creative Commons Attribution-ShareAlike License; matakwa mengine yanaweza kutakiwa. Tazama maelezo zaidi ya Matakwa ya Utumiaji.

Mfumo wa jua[hariri chanzo]

Mfumo wa jua

Mfumo wa jua (en:solar system) ni utaratibu wa jua letu, sayari na sayari kibete zinazolizunguka pamoja na miezi yao, asteroidi, meteoridi, kometi na vumbi ya angani, vyote vikishikwa na mvutano wa jua.

Utaalamu kuhusu mfumo wa jua hujadiliwa katika fani ya astronomia.Muundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa juaMuundo wa mfumo wa jua[hariri | hariri chanzo] Karibu masi yote ni ya jua lenyewe, likiwa na asilimia 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.

Umbali kati ya jua na dunia yetu ni takriban kilomita milioni 150. Umbali huu huitwa „kizio astronomia“ (en:astronomical unit AU). Sayari ya mbali ni Neptuni ambayo ina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.

Pamoja na sayari kuna idadi kubwa ya violwa vingine. Vingi ni vipande vidogo vya mwamba vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye umbo la mwirino ambazo ni ukanda wa asteroidi, ukanda wa Kuiper na wingu la Oort.

Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza na sayari 4 za Utaridi, Zuhura, Dunia na Mirihi ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.

Baada ya njia mzingo wa Mirihi kuna pengo la umbali wa vizio astronomia zaidi ya tatu na nusu hadi Mshtarii. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi wenye violwa lakhi kadhaa pamoja na sayari kibete ya Ceres.

Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.

Sayari za jua letu[hariri | hariri chanzo] Kuna magimba 8 yanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi Zohali (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya saba na nane ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa darubini. Hadi mwaka 2006 Pluto iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kuwa sayari, lakini tangu azimio la Umoja wa Wanastronomia Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na nyingine, si sayari kamili tena.

Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:

Namba zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha kipimo kulingana na tabia za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu majina ya sayari kadhaa kuna mkanganyiko katika kamusi na vitabu. Pale ambako jina au umbo tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika mabano kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya shule za msingi, bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya italiki pamoja na alama ya swali kama (? jina). [2]

  • Utaridi ni jina la sayari ya kwanza kutokana na lugha ya Kiarabu na pia katika mapokeo ya Kiswahili tangu kale. Vitabu vingine hutumia neno "Zebaki" ambalo pia lina asili ya Kiarabu likimaanisha metali mojawapo; inaonekana limepatikana kama tafsiri ya jina la Kiingereza la sayari ya kwanza "Mercury" bila kujua historia ya majina ya sayari sita ya kwanza yaliyoingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiarabu. [3]
    • Zuhura - Ng'andu ni sayari ambalo kwa Kiswahili lina jina la Kibantu pamoja na jina lenye asili ya Kiarabu
      • Tazama makala ya Dunia kwa ajili ya namba halisi. Neno "ardhi" hutumika na waandishi kadhaa badala ya "dunia" wakitaka kutaja sayari ya tatu.
        • Tangu mwaka 2006 Pluto imeingizwa katika kundi la "sayari kibete" Katika vitabu vya shule ya msingi inatajwa mara nyingi kwa jina Utaridi - ambayo haiwezekani maana Pluto haikujulikana kabla ya mwaka 1931 lakini "Utaridi" ni jina linalopatikana tangu zamani kwa Kiswahili likimaanisha sayari ya kwanza.

Jina la sayari Kipenyo kwenye ikweta kulingana na kipenyo cha dunia = 1 Masi Nusukipenyo ya mzingo wa kuzunguka jua Muda wa mzingo (miaka) Kuinama kwa mzingo wa kuzunguka jua Pembenukta (°) Muda wa siku ya sayari (siku) Miezi Utaridi [4] 0.382 0.06 0.387 0.241 7.00 58.6 0 Zuhura (Ng'andu)** 0.949 0.82 0.72 0.615 3.39 -243 0 Dunia (Ardhi)*** 1.00 1.00 1.00 1.00 0.00 1.00 1 Mirihi (Murihi, Meriki, Mars) 0.53 0.11 1.52 1.88 1.85 1.03 2 Mshtarii [5] 11.2 318 5.20 11.86 1.31 0.414 63 Zohari (Zohali, pia Zuhali) [6] 9.41 95 9.54 29.46 2.48 0.426 49 Uranus [7] 3.98 14.6 19.22 84.01 0.77 -0.718 27 Neptun [8] 3.81 17.2 30.06 164.8 1.77 0.671 13 Sayari za nyongeza?[hariri | hariri chanzo] Katika miaka iliyopita wanaastronomia wamejadili uwezekano wa kuwepo kwa sayari za ziada katika umbali mkubwa. Imetambuliwa ya kwamba muundo wa mfumo wa jua ni kubwa kuliko wataalamu wa kale walifikiri.

Tangu kutambuliwa wa ukanda wa Kuiper ambamo Pluto ni sehemu tu inajulikana ya kwamba kuna magimba ya angani mengi yasiyoonekana kwa kirahisi kwa sababu yanapokea na kuakisia nuru kidogo sana kutoka jua.

Kuhusu magimba ya angani yaliyombali zaidi kuliko ukanda wa Kuiper hakuna uhakika bado, Lakini tangu mwaka 2012 vipimo vyipya vilisababisha kutokea kwa nadharia tele kuhusu sayari ya tisa katika umbali mkubwa sana ambyo haikutazamiwa bado.

Mfumo wa jiosentriki[hariri | hariri chanzo] Ulikuwa mfumo wa sayari, jua, nyota na magimba mengine angani ambao zamani ulipendekeza kwamba vyote vinazunguka dunia, ambayo ndiyo ilichukuliwa kuwa kitovu cha ulimwengu.

Marejeo[hariri | hariri chanzo] Jump up ↑ Hand, Eric (January 20, 2016). Jump up ↑ Linganisha ukurasa wa majadiliano:sayari Jump up ↑ kuhusu majina ya sayari zilizojulikana kwa Waswahili na hivyo kuwa na majina asilia, linganisha Jan Knappert, Swahili Islamic poetry, Brill 1971, Vol 1 uk 96-97 - taz google booksearch [1] Jump up ↑ Inaitwa "Zebaki" katika kamusi kadhaa, kwa kosa la kutafsiri upya jina la Kiingereza limalomaanisha metali na pia sayari, tofauti na Kiswahili Jump up ↑ inaitwa kwa kosa "Sumbula" katika vitabu vichache; lakini Sumbula ni jina la nyota ya en:Spica Jump up ↑ Katika vitabu vichache inaitwa "Saratani" au "Satani" kwa kosa; Saratani ni jina la kundinyota ya Cancer; inaonekana kuna kosa kutokana matamshi ya kienyeshi ya jina "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Zohali" ambalo ni jina la sayari inayoitwa kwa Kiingereza "Saturn" Jump up ↑ Vitabu vichache vinatumia kwa kosa jina "Kausi" ambalo ni jina la kundinyota inayoitwa kwa Kiingereza "Sagittarius" [ficha] o m h Mfumo wa jua Nyota na sayari Jua • Utaridi • Zuhura • Dunia • Mirihi • Mshtarii • Zohali • Uranus • Neptun Sayari kibete Ceres • Pluto • Haumea • Makemake • Eris Ukanda Ukanda wa asteroidi • Ukanda wa Kuiper kubwa miezi en:ganymede • Titan • en:Callisto (moon) • en:Io (moon) • Mwezi • en:Europa (moon) • en:Triton (moon) Science-symbol-2.svg Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mfumo wa jua kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. Jamii: Mbegu za sayansiAstronomiaMfumo wa jua

Moyo

Moyo ni ogani ya mwili inayoendesha mzunguko wa damu mwilini. Kazi yake ni kama pampu ya damu. Hali halisi ni misuli inayosukuma damu kwenye mishipa kwa njia ya kujikaza.

Mioyo ya mamalia pamoja na binadamu huwa na pande mbili. Upande wa kulia unasukuma damu kwenda mapafu inapopokea oksijeni; upande wa kushoto unazungusha damu katika sehemu nyingine za mwili pale ambako oksijeni inahitajika.

Moyo ni ogani ya lazima kwa uhai.

Moyo na utamaduni[hariri | hariri chanzo] Katika masimulizi ya mataifa mengi moyo unajadiliwa kama mahali pa roho, mawazo au hisia, hasa pendo na chuki.

Sababu yake ni kwamba pigo la moyo ni dalili ya wazi ya uhai na bila pigo la moyo mtu amekufa, kwa hiyo moyo ulitazamwa kama mahali pa uhai wenyewe pamoja na nafsi ya mtu.

Siku hizi wataalamu wanaona moyo ni pampu tu, ni zaidi ubongo mahali pa nafsi ya mtu.Muhtasari wa kazi ya moyo[hariri | hariri chanzo] (Namba zinalingana na mchoro wa moyo)

Moyo unazungusha damu mwilini.

Damu isiyo na oksijeni inafika moyoni (kulia) kutoka viungo. (na. 1+13) Moyo unapeleka damu hii kwenye mapafu inapoongezwa oksijeni. (na. 2) Damu inarudi moyoni (kushoto) ikiwa na oksijeni (na. 3) Kutoka moyoni (kushoto) unasukumwa kwenda mwilini tena na kubeba oksijeni (na. 10) Mbali na kubeba oksijeni damu inapokea pia virutubishi kwenye utumbo na kuvipeleka seli vinapotakiwa, halafu inapokea pia homoni kutoka tezi mbalimbali na kuzisafirisha. Moyo inahakikisha mwendo huu wa damu unaendelea.

Muundo wa moyo wa binadamu[hariri | hariri chanzo] Moyo wetu huwa na pande mbili na kila upande kuna vyumba viwili. Kwa jumla moyo huwa na vyumba vinne. Amfibia huwa na vyumba vitatu na samaki na vyumba viwili tu.

Damu kutoka mwilini isiyo na oksijeni tena inafika kwenye atiria ya kulia. Atiria inasogeza damu kwenda chumba cha pili au ventrikali ya kulia. Ventrikali inasukuma damu kwenda mapafu inapoongezwa oksijeni. Kutoka mapafu damu yenye oksijeni inarudi moyoni ikiingia atiria ya kushoto na kuendelea ventrikali ya kushoto. Ventrikali hii inasukuma damu mwilini.

Kila sehemu ya kuingia au kutoka kwa damu katika chumba kimoja kuwa na mlango wake na milango hii huitwa "vali" ya moyo. Vali huongezeka jina kufuatana na upande wao ama kulia na kushoto au ya mapafu na menginevyo.

Mishipa ya damu moyoni[hariri | hariri chanzo] Mishipa ya damu moyoni huwa na majina maalumu. Kwa jumla kuna mishipa mikubwa kwa sababu damu yote inapaswa kupita humo. Kwa hiyo mishipa karibu na moyo ni kama barabara kuu za damu mwilini.

Mishipa yote inayopeleka damu kwenda moyoni huitwa "vena". Mishipa yote inayotoa damu kutoka kwa moyo kwenda penginepo huitwa "arteri".

Ateri kuu inayopeleka damu mwilini ni aorta.

Kuna pia ateri za nje zinazozunguka moyo mwenyewe; kama musuli inahitaji oksijeni kwa kazi yake. Ateri za nje zinafikisha damu yenye oksijeni moja kwa moja kwa seli za moyo yenyewe.

Mapigo ya moyo[hariri | hariri chanzo] Pigo la moyo ni hatua ya kujikaza kwa misuli ya moyo. Misuli ikijikaza inapunguza nafasi ndani yake na hivyo kusukuma damu kwenda ama chumba kingine kutoka ateri au kwenda mishipa ya damu yaani ateri.

Computer generated animation of a beating human heart moyo wa mwanadamu ukipiga Baadaye misuli inalegea mahali ilipojikaza. Vali inafunguka na damu kutoka vena inaweza kuingia na kujaza chumba cha moyo. Shindikizo ya damu kutoka vena inapanusha chumba tena mpaka kujaa. Sasa vali ya kuingia inafungwa, chumba kinajikaza tena na vali ya kutoka inafunguliwa.


mzunguko wa damu kuoitia valvu Mwendo huu wa kujikaza unasikika kama "pigo la moyo".

Tazama pia[hariri | hariri chanzo] Mzunguko wa moyo Mfumo wa mzunguko wa damu Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo] Commons-logo.svg Wikimedia Commons ina media kuhusu: Moyo Jamii: TibaViungo vya mwili