Mashahidi wa Yehova : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1: Mstari 1:
[[Picha:Watchtower Bible & Tract Society (world headquarters).jpg|thumb|200px|Makao makuu ya kimataifa huko [[Brooklyn]], [[New York]], Marekani.]]
[[Picha:Watchtower Bible & Tract Society (world headquarters).jpg|thumb|200px|Makao makuu ya kimataifa huko [[Brooklyn]], [[New York]], Marekani.]]
'''Mashahidi wa Yehova''' (kwa [[Kiingereza]] '''Jehovah's Witnesses''') ni wafuasi wa [[dini]] jamii ya [[Ukristo]] ambayo ilianzia [[Marekani]] na kuenea ulimwenguni kote.
'''Mashahidi wa Yehova''' (kwa [[Kiingereza]] '''Jehovah's Witnesses''') ni wafuasi wa [[dini]] jamii ya [[Ukristo]] ambayo ilianzia [[Marekani]] na kuenea [[ulimwengu|ulimwenguni]] kote.


Tofauti na Wakristo karibu wote, hao hawamuamini [[Yesu]] kuwa [[Mungu]] sawa na [[Baba]], wala [[Roho Mtakatifu]] kuwa [[nafsi]], na kwa jumla hawakubali [[imani]] katika [[Utatu]] wa nafsi katika Mungu pekee. Kwa sababu hiyo [[madhehebu]] mengi hayawatambui kama Wakristo wala hayakubali [[ubatizo]] wao.
Tofauti na Wakristo karibu wote, hao hawamuamini [[Yesu]] kuwa [[Mungu]] sawa na [[Baba]], wala [[Roho Mtakatifu]] kuwa [[nafsi]], na kwa jumla hawakubali [[imani]] katika [[Utatu]] wa nafsi katika Mungu pekee. Kwa sababu hiyo [[madhehebu]] mengi hayawatambui kama Wakristo wala hayakubali [[ubatizo]] wao.


[[Mwanzilishi]] alikuwa [[Charles Taze Russell]] pamoja na kikundi cha wanafunzi wa [[Biblia]] ([[miaka ya 1870]]). Jina la sasa lilianza kutumika mwaka [[1931]].
[[Mwanzilishi]] alikuwa [[Charles Taze Russell]] pamoja na kikundi cha wanafunzi wa [[Biblia]] ([[miaka ya 1870]]). Jina la sasa lilianza kutumika [[mwaka]] [[1931]].


Kwa sasa wako milioni 8.2 katika jumuia 118,016 (kadiri ya ''2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova''<ref>[http://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/2016-kitabu-cha-mwaka/ ''2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova]</ref>). Ongezeko ni la asilimia 2.5 kwa mwaka.
Kwa sasa wako [[milioni]] 8.2 katika [[jumuia]] 118,016 (kadiri ya ''2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova''<ref>[http://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/2016-kitabu-cha-mwaka/ ''2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova]</ref>). Ongezeko ni la [[asilimia]] 2.5 kwa mwaka.


== Hoja dhidi yao ==
== Hoja dhidi yao ==
Wengi wamelaumu Mashahidi wa Yehova hasa kutokana na jinsi walivyotafsiri na wanavyofafanua Biblia, mafundisho yao, [[katazo]] la [[utoaji damu]], mara kadhaa za utabiri wao kutotimia hasa kuhusu mambo ya mwisho, pamoja na jinsi waumini wanavyofuatiliwa na kushinikizwa.
Wengi wamelaumu Mashahidi wa Yehova hasa kutokana na jinsi walivyotafsiri na wanavyofafanua Biblia, mafundisho yao, [[katazo]] la [[utoaji damu]], mara kadhaa za [[utabiri]] wao kutotimia hasa kuhusu mambo ya mwisho, pamoja na jinsi waumini wanavyofuatiliwa na kushinikizwa.


Kwa sababu hizo katika nchi mbalimbali dini hiyo iliwahi kukatazwa, kama nchini [[Tanzania]] wakati wa [[urais]] wa [[Julius Nyerere]] au bado ni marufuku.
Kwa sababu hizo katika nchi mbalimbali dini hiyo iliwahi kukatazwa, kama nchini [[Tanzania]] wakati wa [[urais]] wa [[Julius Nyerere]] au bado ni marufuku.
Mstari 15: Mstari 15:
Wenyewe wamekataa daima lawama hizo, lakini kila mwaka wengi wanajitenga nao.
Wenyewe wamekataa daima lawama hizo, lakini kila mwaka wengi wanajitenga nao.


== Marejeo ==
==Tanbihi==
<references/>
<references/>

== Marejeo ==
* ''Jehovah's Witnesses: Portrait of a Contemporary Religious Movement'' by Andrew Holden. An academic study on the sociological aspects of Jehovah's Witnesses phenomenon. Publisher: Routledge; 1st edition 2002, ISBN 978-0-415-26610-9.
* ''Jehovah's Witnesses: Portrait of a Contemporary Religious Movement'' by Andrew Holden. An academic study on the sociological aspects of Jehovah's Witnesses phenomenon. Publisher: Routledge; 1st edition 2002, ISBN 978-0-415-26610-9.
* ''Jehovah's Witnesses—Proclaimers of God's Kingdom'' (1993) by [[Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania]]. Official history of the development of the beliefs, practices, and organisational structure of Jehovah's Witnesses.
* ''Jehovah's Witnesses—Proclaimers of God's Kingdom'' (1993) by [[Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania]]. Official history of the development of the beliefs, practices, and organisational structure of Jehovah's Witnesses.
Mstari 33: Mstari 35:
== Viungo vya nje ==
== Viungo vya nje ==
{{Commons category|Jehovah's Witnesses}}
{{Commons category|Jehovah's Witnesses}}
<!-- Please discuss any links you wish to add to this list on this article's talk page before adding them. To avoid spam, link creep, and keep the resources in this section of high quality, we want to discuss any external resource inclusion before it is added. Thank you! -->


=== Tovuti rasmi ===
=== Tovuti rasmi ===
* [http://www.jw.org/sw/ Mashahidi wa Yehova]
* [http://www.jw.org/sw/ Mashahidi wa Yehova]
* [http://www.jw.org/swc/ Mashahidi wa Yehova]
* [http://www.jw.org/swc/ Mashahidi wa Yehova]



=== Tovuti nyingine ===
=== Tovuti nyingine ===
<!-- Please discuss any books you wish to add to this list on this article's talk page before adding them. To avoid spam, link creep, and keep the resources in this section of high quality, we want to discuss any external resource inclusion before it is added. Thank you! -->
* [http://www.knocking.org/ 'Knocking'] – A documentary about Jehovah's Witnesses. [http://www.youtube.com/watch?v=Oj4cS4n9ZkA Sample Trailer]
* [http://www.knocking.org/ 'Knocking'] – A documentary about Jehovah's Witnesses. [http://www.youtube.com/watch?v=Oj4cS4n9ZkA Sample Trailer]
* [http://www.theocraticlibrary.com/downloads/Why_Jehovah's_Witnesses_Grow_So_Rapidly.pdf Why Do Jehovah's Witnesses Grow So Rapidly: A Theoretical Explanation] – Theory documented by sociologists Rodney Stark & Laurence R. Iannaccone.
* [http://www.theocraticlibrary.com/downloads/Why_Jehovah's_Witnesses_Grow_So_Rapidly.pdf Why Do Jehovah's Witnesses Grow So Rapidly: A Theoretical Explanation] – Theory documented by sociologists Rodney Stark & Laurence R. Iannaccone.

Pitio la 12:21, 20 Januari 2016

Makao makuu ya kimataifa huko Brooklyn, New York, Marekani.

Mashahidi wa Yehova (kwa Kiingereza Jehovah's Witnesses) ni wafuasi wa dini jamii ya Ukristo ambayo ilianzia Marekani na kuenea ulimwenguni kote.

Tofauti na Wakristo karibu wote, hao hawamuamini Yesu kuwa Mungu sawa na Baba, wala Roho Mtakatifu kuwa nafsi, na kwa jumla hawakubali imani katika Utatu wa nafsi katika Mungu pekee. Kwa sababu hiyo madhehebu mengi hayawatambui kama Wakristo wala hayakubali ubatizo wao.

Mwanzilishi alikuwa Charles Taze Russell pamoja na kikundi cha wanafunzi wa Biblia (miaka ya 1870). Jina la sasa lilianza kutumika mwaka 1931.

Kwa sasa wako milioni 8.2 katika jumuia 118,016 (kadiri ya 2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova[1]). Ongezeko ni la asilimia 2.5 kwa mwaka.

Hoja dhidi yao

Wengi wamelaumu Mashahidi wa Yehova hasa kutokana na jinsi walivyotafsiri na wanavyofafanua Biblia, mafundisho yao, katazo la utoaji damu, mara kadhaa za utabiri wao kutotimia hasa kuhusu mambo ya mwisho, pamoja na jinsi waumini wanavyofuatiliwa na kushinikizwa.

Kwa sababu hizo katika nchi mbalimbali dini hiyo iliwahi kukatazwa, kama nchini Tanzania wakati wa urais wa Julius Nyerere au bado ni marufuku.

Wenyewe wamekataa daima lawama hizo, lakini kila mwaka wengi wanajitenga nao.

Tanbihi

  1. 2016 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova

Marejeo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Tovuti rasmi

Tovuti nyingine

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.