Utabiri

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Utabiri au ubashiri ni uoteaji au ukisiaji wa mambo yatakayotokea muda ujao.

Mtu mwenye uwezo wa kutabiri huitwa mtabiri.

Mara nyingine utabiri unatokana na uchunguzi wa kisayansi, kwa mfano utabiri wa hali ya hewa.

Katika dini mbalimbali utabiri unatokana na karama maalumu ambayo mtu anajaliwa na Mwenyezi Mungu.

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.