Antili Ndogo : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Roboti: Imeongeza lv:Mazās Antiļu salas |
d r2.7.2+) (Roboti: Imeongeza be:Малыя Антыльскія астравы, ca:Petites Antilles |
||
Mstari 47: | Mstari 47: | ||
[[als:Kleine Antillen]] |
[[als:Kleine Antillen]] |
||
[[ar:جزر الأنتيل الصغرى]] |
[[ar:جزر الأنتيل الصغرى]] |
||
[[be:Малыя Антыльскія астравы]] |
|||
[[bg:Малки Антили]] |
[[bg:Малки Антили]] |
||
[[br:Antilhez Bihanañ]] |
[[br:Antilhez Bihanañ]] |
||
[[bs:Mali Antili]] |
[[bs:Mali Antili]] |
||
[[ca:Petites Antilles]] |
|||
[[cs:Malé Antily]] |
[[cs:Malé Antily]] |
||
[[cy:Antilles Lleiaf]] |
[[cy:Antilles Lleiaf]] |
Pitio la 01:32, 6 Oktoba 2012
Antili Ndogo ni kikundi cha visiwa vidogo katika Atlantiki mbele ya pwani la Amerika ya Kati. Ni sehemu ya kusini Visiwa vya Karibi. Antili ndogo ina umbo la pinde kati ya pwani la Venezuela na kisiwa kikubwa cha Puerto Rico.
Jiolojia
Pinde hufuata mstari wa mpaka wa bamba la Karibi. Visiwa vyote ni ya asili ya kivolkeno. Volkeno hai na mitetemeko ya ardhi ni kawaida.
Orodha ya visiwa
- Visiwa vya Virgin vya Marekani: St. Thomas, St. John, St. Croix
- Visiwa vya Virgin vya Uingereza: Tortola, Virgin Gorda, Anegada, Jost Van Dyke
- Anguilla (Kiing.)
- Saint Martin (chini ya Ufaransa pamoja na Antili za Kiholanzi).
- Saint-Barthélemy (Kifar.)
- Saba (Kihol.)
- Sint Eustatius (Kihol.)
- Saint Kitts
- Nevis
- Barbuda
- Antigua
- Redonda
- Montserrat (Kiing.)
- Guadeloupe (Kifar.)
- La Désirade (Kifar.)
- Les Saintes (Kifar.)
- Marie-Galante (Kifar.)
- Dominica
- Martinique (Kifar.)
- Saint Lucia
- Barbados
- Saint Vincent
- Grenadines
- Grenada
- Trinidad and Tobago
Visiwa karibu na pwani la Venezuela:
- Aruba (Kihol.)
- Curaçao (Kihol.)
- Bonaire (Kihol.)
- Fungukisiwa cha Venezuela
Makala hii kuhusu maeneo ya Bahari ya Karibi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Antili Ndogo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |