Ulaya ya Kaskazini : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d r2.7.1) (Roboti: Imeongeza br:Europa an Norzh |
Xqbot (majadiliano | michango) d r2.7.3) (Roboti: Imeongeza xmf:ოორუე ევროპა |
||
Mstari 91: | Mstari 91: | ||
[[war:Amihanan nga Europa]] |
[[war:Amihanan nga Europa]] |
||
[[wo:Bëj-gànnaaru Tugal]] |
[[wo:Bëj-gànnaaru Tugal]] |
||
[[xmf:ოორუე ევროპა]] |
|||
[[yo:Apáàríwá Europe]] |
[[yo:Apáàríwá Europe]] |
||
[[zh:北歐]] |
[[zh:北歐]] |
Pitio la 05:48, 24 Juni 2012
Ulaya ya Kaskazini ni sehemu ya kaskazini ya bara la Ulaya. Kuna maelezo ya kutofautiana ni nchi zipi ambazo ni sehemu ya kanda hili.
Kwa hakika tamko hili lamaanisha:
- Nchi za Skandinavia pamoja na Denmark, Ufini, Iceland, Norwei na Uswidi, pia visiwa vya Faroe.
- Nchi za Kibalti yaani Estonia, Latvia na Lithuania.
- Mara nyingi ama sehemu ya kaskazini ya Britania (=Uskoti) au funguvisiwa ya Britania yote huhesabiwa kuwa sehemu ya Ulaya ya kaskazini yaani Uingereza, Uskoti, Welisi, Ueire na kisiwa cha Man.
- Wakati mwingine hata nchi nyingine kando la Bahari ya Baltiki kama Urusi ya kaskazini-magharibi, Poland ya kaskazini, Ujerumani ya Kaskazini zinahesabiwa humo.