Ukraini : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d r2.7.1) (roboti Nyongeza: frr:Ukraine
d r2.6.5) (roboti Nyongeza: or:ୟୁକ୍ରେନ
Mstari 222: Mstari 222:
[[nv:Yóókwein]]
[[nv:Yóókwein]]
[[oc:Ucraïna]]
[[oc:Ucraïna]]
[[or:ୟୁକ୍ରେନ]]
[[os:Украинæ]]
[[os:Украинæ]]
[[pam:Ukranya]]
[[pam:Ukranya]]

Pitio la 18:18, 3 Februari 2012

Ukraini
Ramani ya Ukraine

Ukraine (Україна}}, Ukraina) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki. Imepakana na Urusi, Belarus, Poland, Slovakia, Hungaria, Romania na Moldova.

Kuna pwani ya Bahari Nyeusi na ghuba ya Azov.

Mji mkuu ni Kiev (Kyiv).

Lugha na utamaduni

Kiukraine (українська мова "ukrajin's'ka mova") ni lugha rasmi, lakini angalau nusu ya wakazi hutumia Kirusi. Kiukraine ni lugha ya Kislavoni karibu sana na Kirusi.

Kwa muda mrefu Ukraine ilitawaliwa na Urusi na Kirusi kilikuwa lugha ya utawala hali halisi. Tangu uhuru serikali imeendesha sera ya kujenga lugha ya kitaifa.

Wakazi

Sensa ya mwaka 2001 ilionyesha ya kwamba 77% za wakazi hujiita "Waukraine". Waliojiita Warusi walikuwa 17%. Vikundi vingi vingine kama Wabelarus, Wamoldovia, Watartari, Wabulgaria, Wapoland, Wayahudi na wengine walikuwa kila kimoja chini ya 1%.

Walio wengi ni Wakristo wa Kanisa la Kiorthodoksi la Russia, lakini Waorthodoksi wengine wamejitenga na kuanzisha Kanisa la Kiorthodoksi la Ukraina.

Pia kuwa waamini wengi wa Kanisa Katoliki, hasa wa Kanisa Katoliki la Ukraina linalofuata mapokeo ya Mashariki kama Waorthodoksi]], lakini pia wa Kanisa la Kilatini.

Historia

1922 - 1991 Ukraine ilikuwa jamhuri mwanachama wa Umoja wa Kisovyeti na kabla ya hayo sehemu ya Dola la Urusi. Miaka 1918 - 1921 baada ya mwisho wa Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia na ya kuporomoka kwa Dola la Urusi nchi ilikuwa na kipindi kifupi cha uhuru na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Viungo vya nje

Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA Kigezo:Link FA