Mitara : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Mitara''' (au '''Upoli''' au '''Upali''') ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa. Hali hiyo ilikuwa ya kawaida barani Afrika, am...' |
No edit summary |
||
Mstari 1: | Mstari 1: | ||
[[File:Toba chieftain 1892.jpg|thumb|right|300px|Kiongozi wa [[kabila]] la [[Toba (kabila)|Toba]] na wake zake, [[1892]].]] |
|||
'''Mitara''' (au '''Upoli''' au '''Upali''') ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa. |
'''Mitara''' (au '''Upoli''' au '''Upali''') ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa. |
||
Pitio la 06:51, 14 Septemba 2011
Mitara (au Upoli au Upali) ni hali ya watu zaidi ya wawili kuishi katika uhusiano wa kindoa.
Hali hiyo ilikuwa ya kawaida barani Afrika, ambapo mwanamume mmoja aliweza kuwa na wanawake zaidi ya mmoja, lakini kwa sasa inazidi kupungua.
Ya nadra zaidi ni hali ya wanaume kadhaa kuchanga mwanamke mmoja.
Baadhi ya nchi zinakubali hali hiyo, lakini nyingi zinaikataza.
Vilevile baadhi ya dini zinakubali mitara, hususan Uislamu, lakini nyingine zinaikataza, hususan Ukristo.
Katika Biblia tunakuta maendeleo ya ufunuo kuhusu hali hiyo kati ya Agano la Kale na Agano Jipya.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |