I : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
d roboti Nyongeza: be-x-old:I (літара)
d roboti Nyongeza: war:I
Mstari 108: Mstari 108:
[[vi:I]]
[[vi:I]]
[[vo:I]]
[[vo:I]]
[[war:I]]
[[xal:I үзг]]
[[xal:I үзг]]
[[yi:I]]
[[yi:I]]

Pitio la 00:54, 11 Agosti 2010

Alfabeti ya Kilatini
(kwa matumizi ya Kiswahili)
Aa Bb Cc ch Dd
Ee Ff Gg Hh Ii Jj
Kk Ll Mm Nn Oo Pp
Qq Rr Ss Tt Uu Vv
Ww Xx Yy Zz

I ni herufi ya 9 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Iota ya alfabeti ya Kigiriki.

Maana za I

Historia ya I

Kifinisia
Y (yad)
Kigiriki
Iota
Kietruski
I
Kilatini
I
Lateinisches I

Asili ya alama ni picha andishi iliyoonyesha mkono. Wafinisia walikuwa rahisihsa alama hiyo na kuiita kwa neno lao la mkono "yad" (au: yod). Wakaitumia kama alama ya sauti "y" na pia ya "i" ndefu. Wagiriki wakaipokea kama "Iota" na kurahisisha umbo lake zaidi hadi kuwa mstari tu. Wakaitumia kwa sauti ya "i".

Alama ikaendelea hivyo katika alfabeti za Waetruski na za Kilatini.