Konrad wa Parzham : Tofauti kati ya masahihisho

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 9 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q16785 (translate me)
Mstari 6: Mstari 6:
Alitangazwa na [[Papa Pius XI]] kuwa [[mwenye heri]] mwaka [[1930]] na [[mtakatifu]] mwaka [[1934]].
Alitangazwa na [[Papa Pius XI]] kuwa [[mwenye heri]] mwaka [[1930]] na [[mtakatifu]] mwaka [[1934]].


==Tanbihi==
==Tazama pia==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]


==Tanbihi==
{{reflist}}
{{reflist}}



Pitio la 16:07, 23 Mei 2017

Faili:ConradParzham.jpg
Mt. Konrad akiwa amevaa kanzu ya utawa wake.

Konrad wa Parzham O.F.M. Cap. ni jina la kitawa la Yohane Birndorfer, ambaye alizaliwa Bad Griesbach, Passau, Ufalme wa Bavaria, leo nchini Ujerumani mwaka 1818, akafariki Altötting, Bavaria, 1894.

Alikuwa bruda wa shirika la Wakapuchini na kufanya kazi ya bawabu kwenye patakatifu pa Altötting kwa miaka 40 na zaidi.

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri mwaka 1930 na mtakatifu mwaka 1934.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.