Lisini wa Angers

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Charlotte de Ferré na Mt. Lisini katika kioo cha rangi, La Chapelle-Janson (Ille-et-Vilaine).

Lisini wa Angers (kwa Kilatini: Licinius; kwa Kifaransa: Lezin, Lésin; 540 hivi - 610 hivi[1]) alikuwa kwanza mwanasiasa na mtawala, halafu mmonaki, na hatimaye askofu wa 14 wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 592 hivi[2], akianzisha monasteri alimozikwa[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Heiligen Lexicon Licinius_von_Angers
  2. Rev. Alban Butler (1866) The Lives of the Fathers, Martyrs and Other Principal Saints" Volume II: p 142 St. Licinius, Confessor
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/75940
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.