Lifardi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Lifardi akimponda joka.

Lifardi (Mans, Ufaransa, karne ya 6 - Meung-sur-Loire, Orleans, 570 hivi[1]) alikuwa gavana wa Orleans ambaye kufikia umri wa miaka 40 aliacha utawala akawa shemasi, halafu mkaapweke, padri na baadaye alianzisha monasteri ambapo alifariki[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Juni[3][4]..

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. CatholicSaints.Info, Saint Liphardus of Orléans.
  2. https://www.santiebeati.it/dettaglio/55630
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  4. Saints, Saintes et Fêtes du 3 juin.

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.