Kwakifua

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kwakifua ni moja kati ya kata za Wilaya ya Muheza, nchini Tanzania, yenye Postikodi namba 21412.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 3,144 [1]. Kulingana na sensa ya mwaka 2012, kata hii ilikadiriwa kuwa na wakazi 3084.

Kata hii inaundwa na vijiji vitatu, ambavyo ni Ngarani, Mpakani na Kwakifua kilichotoa jina la kata.

Kata hii imepakana na kata za Kilulu, Kwafungo na Bwembwera.

Shughuli za uchumi[hariri | hariri chanzo]

Wakazi wa hii kata ni Wabondei kwa kabila na walio wengi ni wakulima kama shughuli kuu ya uchumi.

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Kata za Wilaya ya Muheza - Mkoa wa Tanga - Tanzania

Amani | Bwembwera | Genge | Kicheba | Kigombe | Kilulu | Kisiwani | Kwabada | Kwafungo | Kwakifua | Kwemingoji | Kwemkabala | Kwezitu | Lusanga | Magila | Magoroto | Majengo | Makole | Masuguru | Mbaramo | Mbomole | Mhamba | Misalai | Misozwe | Mkuzi | Mlingano | Mpapayu | Mtindiro | Ngomeni | Nkumba | Pande Darajani | Potwe | Songa | Tanganyika | Tingeni | Tongwe | Zirai

Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Tanga bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kwakifua kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Tafadhali usiingize majina ya maafisa au viongozi wa sasa maana wanabadilika mno.