Kostabile

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Muujiza wa Mt. Kostabile.

Kostabile, O.S.B. (Castellabate, Salerno, 1070 hivi - Cava de' Tirreni, Salerno, 17 Februari 1124) alijiunga na monasteri maarufu tangu utotoni akawa abati wake kuanzia mwaka 1122 hadi kifo chake.

Aliishi na kuongoza kwa upole na upendo wa ajabu hata akaitwa "blanketi" la ndugu.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Leo XIII tarehe 21 Desemba 1893.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 17 Februari[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.