Koluthi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Koluthi (alifariki karne ya 3) alikuwa tabibu Mkristo wa Misri.

Baada ya kufungwa miaka mitatu kwa sababu ya imani yake, aliuawa kwa kukatwa kichwa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.