Klaudina Thevenet

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Klaudina alivyochorwa.

Klaudina Thevenet (jina la kitawa: Maria wa Mt. Ignasi; Lyon, 30 Machi 1774 – Lyon, 3 Februari 1837) alikuwa bikira wa Ufaransa aliyesukumwa na upendo mkubwa kufanya juhudi za kuanzisha shirika la “Masista wa Mioyo Mitakatifu ya Yesu na Maria" kwa ajili ya kuhudumia wasichana wa mazingira hatarishi (1815).

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 4 Oktoba 1981, halafu mtakatifu tarehe 21 Machi 1993.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[1].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.