Kiseyeye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiseyeye (pia: hijabu; kwa Kiingereza scurvy) ni ugonjwa unaosababishwa na uhaba wa vitamini C mwilini. Dalili zake ni pamoja na kutokea kwa madoa kwenye ngozi. Meno yanaanza kuchezacheza na kupotea. Watu wanaweza kutokwa na damu mdomoni na puani. Viungo vya mwili huuma. Mgonjwa atakuwa dhaifu.

Zamani kiseyeye kilikuwa ugonjwa hasa wa mabaharia waliokaa muda mrefu kwenye maji bila kula matunda au chanzo kingine cha vitamini C. Kabla ya kugundua kwamba akiba ya limau ni dawa njema mabaharia wengi walikufa kutokana na kiseyeye[1].

Picha za dalili za kiseyeye[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  • "Scurvy (Scorbutus)". The Encyclopaedia Britannica; A Dictionary of Arts, Sciences, Literature and General Information. XXIV (SAINTE-CLAIRE DEVILLE to SHUTTLE) (11th ed.). Cambridge, England and New York: At the University Press. 1911. p. 517. Retrieved 22 October 2018 – via Internet Archive. 
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiseyeye kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.