Kindi-miraba

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kindi-miraba
Kindi-miraba wa Kongo (Funisciurus congicus)
Kindi-miraba wa Kongo (Funisciurus congicus)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Rodentia (Wagugunaji)
Nusuoda: Sciuromorpha (Wanyama kama kindi)
Familia: Sciuridae (Wanyama walio na mnasaba na kindi)
Muirhead, 1819
Nusufamilia: Xerinae (Wanyama wanaofanana na kindi)
Osborn, 1910
Kabila: Protoxerini (Wanyama wanaofanana sana na kindi)
Jenasi: Funisciurus
Trouessart, 1880
Ngazi za chini

Spishi 9:

Kindi-miraba ni wanyama wadogo wa jenasi Funisciurus katika kabila Protoxerini la familia Sciuridae. Kama kindi wote spishi hizi hupitisha muda mitini hasa lakini huteremka ardhini mara kwa mara. Wanatokea misitu ya Afrika ya Kati mpaka Senegali ya Kusini magharibi na mpaka Namibia ya Kaskazini kusini. Hula mbegu, makokwa, matunda, matumba, machipukizi na wadudu.

Spishi[hariri | hariri chanzo]

Picha[hariri | hariri chanzo]