Kieran wa Saighir

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kieran katika dirisha la kanisa.

Kieran wa Saighir (pia: Ciaran Mzee; Cleire, karne ya 5 - 530 hivi) alikuwa mmonaki wa Ireland na askofu wa Saighir, Ossory[1].

Anahesabiwa kati ya Mitume kumi na wawili wa Ireland.

Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, hasa tarehe 5 Machi, sikukuu yake[2].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Vyanzo[hariri | hariri chanzo]

Marejeo mengine[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.