Kati Kovács (mchoraji)

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Kati Kovács

Marje Katalin "Kati" Kovács (alizaliwa 26 Desemba 1963) alikuwa msanii wa katuni wa Ufini. Ametoa albamu katika lugha za Kifini, Kifaransa, Kiswidi, Kijerumani na Kihungaria. Kovács alishinda Tuzo kadhaa mfululizo ikiwa ni pamoja na Tuzo za Urhunden Prizes mwaka 1998 ya albamu iliyouzwa mnamo mwaka 1997.

Alianza kuishi Roma, Italia mnamo mwaka 1986.[1]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Boksampo.fi. Läst 18 december 2012.
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kati Kovács (mchoraji) kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.