Kasyo na Viktorini
Mandhari

Kasyo na Viktorini (walifariki Alvernia, leo Clermont-Ferrand, nchini Ufaransa, 264 hivi) walikuwa Wakristo ambao waliuawa pamoja na wengine wengi [1] chini ya mfalme Kroko wa Waalemani waliovamia Dola la Roma.
Kabla ya kuongolewa na askofu Austremoni[2], Kasyo alikuwa seneta[3], Viktorini kuhani wa Kipagani[4].
Tangu zamani wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
[hariri | hariri chanzo]- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
[hariri | hariri chanzo]- ↑ Benedictine Monks, Book of the Saints (Kessinger Publishing, 2003), p. 59.
- ↑ "Diocese of Clermont". Catholic Encyclopedia. 2009. Iliwekwa mnamo Aprili 20, 2009.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ "St. Cassius". Catholic Online. 2009. Iliwekwa mnamo Aprili 20, 2009.
{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/53320
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje
[hariri | hariri chanzo]- (Kiholanzi) Cassius e.v.a. van Clermont
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |