Karpo, Papilo na wenzao

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Karpo, Papilo na wenzao (walifariki Pergamo, katika Uturuki ya leo, 170 hivi au 250 hivi) walikuwa Wakristo waliouawa kwa ajili ya imani yao katika dhuluma ya kaisari Marko Aurelio au Decius[1].

Karpo alikuwa askofu wa Gurdos, Lidia, Papilo alikuwa shemasi wa Tuatira na Agatonika dada yake. Wafiadini wenzao wengi hawajulikani kwa jina[2].

Masimulizi ya kifodini chao yametufikia.

Tangu kale wote wanaheshimiwa kama watakatifu.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 13 Aprili[3].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. The only known manuscripts of the Acts of Carpus, Papylus, and Agathonice are preserved in Greek and Latin (Longer version). Eusebius places the persecutions during the reign of Marcus Aurelius, which some biblical scholars assign a date to the second century AD. However, the Latin version's qualities points to the third century AD of Decius's reign, and with these differences, scholars can't conclude the actual date because of the two suggested emperors in which the acts occurred.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/92743
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.