Karinthia

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Karinthia katika Austria
bendera ya Karinthia

Karinthia (kwa Kijerumani: Kärnten, kwa Kislovenia: Koroška, kwa Kikroatia: Koruška) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi 559.000 kwenye eneo la km² 9.364.

Mji mkuu ni Klagenfurt am Wörthersee. Waziri mkuu ni Peter Kaiser (SPÖ).

Jiografia[hariri | hariri chanzo]

Karinthia imepakana na majimbo ya Austria ya Tirol, Salzburg na Steiermark.

Miji mikubwa ni pamoja na Klagenfurt na Villach.

Drava na Gurk ndiyo mito muhimu zaidi.

Picha za Karinthia[hariri | hariri chanzo]

Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]

Wikimedia Commons ina media kuhusu:


 
Majimbo ya Austria
Austria Chini (Niederösterreich)Austria Juu (Oberösterreich)BurgenlandKarinthia (Kärnten)SalzburgSteiermarkTirolVienna (Wien)Vorarlberg
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Karinthia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.