Nenda kwa yaliyomo

Klagenfurt am Wörthersee

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Sehemu ya Mji wa Klagenfurt


Klagenfurt (Kijerumani: Klagenfurt am Wörthersee; Kislovenia: Celovec ob Vrbskem jezeru) ni mji mkuu wa Karinthia nchini Austria. Idadi ya wakazi wake ni takriban 94.000.

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Klagenfurt am Wörthersee kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.