Kaprasi wa Agen

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Mt. Kaprasi katika dirisha la kioo cha rangi.

Kaprasi wa Agen (alifariki Agen, Akwitania, leo nchini Ufaransa, 303 hivi) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake kutokana na dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Oktoba[4].

Tazama pia[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi[hariri | hariri chanzo]

  1. Alban Butler, David Hugh Farmer, Paul Burns, Butler's Lives of the Saints (Liturgical Press, 2000), 139.
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/74440
  3. http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=2593
  4. Martyrologium Romanum

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.